Thursday, January 6, 2011

Maua ya plastiki yapigwa marufuku

Shirika la mazingira nchini NEMA limepiga marufuku matumizi ya 
maua ya plastiki na baadhi ya makaratasi mepesi ya plastiki. kaimu 
mkurugenzi wa shirika hilo Ayub Macharia tayari ametoa muda wa 
miezi tatu kwa shirika la kukadiria ubora wa bidhaa KEBS kutimiza 
marufuku hiyo. wale watakiuka sheria hiyo watachukuliwa hatua kali 
za kisheria.

No comments:

Post a Comment