Thursday, January 6, 2011

Gender affairs.....

Women barred from attending a meeting organised by DPM Uhuru Kenyatta:

Ni mkutano unaokisiwa kujadili uridhi wa uongonzi wa nchi baada ya kustaafu kwa rais Mwai kibaki. Duru zinaarifu kuwa wajumbe na wafanyibiashara wanaotokea mkoa wa kati walijadili nani kati yao atapeperusha bendera ya urais kutoka eneo hilo, should Uhuru be stopped from running the presidency by the Hague related issues. Itakumbukwa uhuru ni kati ya washukiwa sita wa ghasia za baada ya uchaguzi.

Swali kuu hata hivyo ilikuwa, Ni kwa nini wanawake na vyombo vya habari, bila kujali jinsia, walifungiwa nje ya mkutano huo? taarifa zaidi soma hapa

No comments:

Post a Comment