Wednesday, February 2, 2011

PNU TO WITHDRAW FROM COALITION//////MUDAKI


chama cha pnu kimetisha kujiondoa kutoka serikali ya muungano kutokana na mzozo unaoshuhudiwa kwa sasa.wakizungumza na wanahabari wabunge wa chama hicho wanasema kuwa hatua ya rais mwai kibaki kuwateua wakuu katika idara ya mahakama ndio sababu kuu ya kushuhudiwa migawanyiko serikalini hali inayowafanya kuchukua hatua hiyo ya kujiondoa.newton mudaki na mengi zaidi.

WABUNGE HAO aidha WANATAKA KUANDALIA KWA MKUTANO WA KITAIFA WA WAJUMBE WA CHAMA HICHO KATIKA MUDA WA SIKU ISHIRINI NA MOJA  ILI KUJADILI  IWAPO CHAMA HICHO KITAJIONDOA KUTOKA SERIKALI YA MUUNGANO AU LA.KIONI ANASEMA KUWA MGOGORO UNAOENDELEA KATIKA SERIKALI YA MUUNGANO HAUFAI KWANI VIONGONZI WANAJITAKIA MAKUU HUKU WAKISAHAU KIINI CHA KUBUNIWA KWAKE.
KUHUSU UTEUZI WA  WAKUU WA MAHAKAMA ULIOFANYWA NA RAIS MWAI KIBAKI HIVI MAAJUZI, VIONGOZI HAO WAMESISITIZA KUMUUNGA MKONO RAIS KIBAKI HUKU WAKIMTAKA WAZIRI MKUU RAILA ODINGA KUWAOMBA RADHI WAKENYA BAADA YAKE KUKIRI KUSHAURIANA NA RAIS. KWA UPANDE WAKE NAIBU MWENYEKITI WA CHAMA HICHO JAMLECK KAMAU AIDHA AMEISHTUMU TUME YA MAGEUZI KATIKA IDARA YA MAHAKAMA (JSC) KWA KUPINGA UTEUZI HUO. MBUNGE HUYO WA KIGUMO AMESEMA KUWA TUME HIYO HAINA HAKI YA KUFANYA HIVYO KABLA YAKE kupigwa msasA.

No comments:

Post a Comment