Wednesday, December 19, 2012

Land case implicating Daniel Moi’s son fails to commence



A land dispute case implicating one of former President Daniel arap Moi’s son failed to commence tonday at Nakuru High Court.
The Current directors of Kimng’ochoch Farm Limited filed a petition at Nakuru High Court seeking to revoke allocation of 82.9 hectares (226 acres) which they argue was fraudulently allocated to Mr John Mark Moi at Solai area. He has been listed as a second defendant in the Civil Suit.
The case before Lady Justice Helen Omondi was postponed after the petitioners were informed that the judges were on vacation.
Some 222 shareholders are fighting for justice in an attempt to recover various prime properties that were illegally allocated to influential individuals during Kanu regime in  1992.
According to the petitioners affidavid,  the disposal of the companies properties deal was sealed against the wishes of majority of the members. The civil suit filed by Mr Dickson Yatich and sponsored by a rights group- claim that despite demand made and previous intentions to sue the defendants, they had refused to facilitate a transfer of the suit land into Kimng’ochoch farm limited.
The plaintiffs also want the court to compel the ten defendants led by former company chairman Mr Obadia Kipkorir to explain the position of the contested properties which include farm houses, tractors and dairy cattle which the shareholders inherited in 1972 when they bought the property from a white settler who disposed to them a total of 1,792 acres.
“While acting as bona fide officials and trustees, the six petitioners have filed that the defendants “fraudulently transacted parcel of land Solai/Ndungiri Block 1/232 and parcel of land Solai/Ndungiri 1/135 and other movable properties to 2nd defendant (Mr Mark) without minutes of present officials and members knowledge as per memorandum of association.”
The petitioners acting on behalf of 222 shareholders want the court to order permanent injunctions restraining the defendants “either by themselves, their servants, and or agents from entering, trespassing, cultivating and or in any way interfering with the plaintiffs properties.”
Mr Peter Tenna, a rights activist said they were taking up the matter under provisions of the new constitution after the Moi family and other defendants failed to settle the matter out of court despite their approach to arbitration mechanisms. The petitioners claim they had sent emissaries to former President Moi but no official communication came from that end. 

(Courtesy Simon Ben Nakuru)

Saturday, July 21, 2012

The last days...Fake Ministries, Fake Miracles

I was so shocked when NTV Kenya aired the News about shocking alliance between a televangelist and sex workers. It's evident that many worshipers are duped by their pastors in the name of Miracles. The shocking video reveals how a pastor of one famous church in Nairobi is using a network of sex workers who are paid to pose as sick persons. They are prayed for and "healed" so as to convince the congregation (which supports the "ministry" by giving tithe and other offering). Isn't this frauding God? Here's the shocking video (Courtesy of NTV Kenya via You Tube)

I end by saying these: Jesus, before leaving His disciples said,
Matthew 24:5 "For many will come in my name, saying, I am Christ, and will mislead many."
Matthew 24:11 "And many false prophets will arise, and will mislead many."

May God help us and Christians Keep Praying!


Saturday, December 17, 2011

Siasa za tume ya maadili na ufisadi

Nimekuwa nikifuatilia mjadala kuhusu uteuzi wa waliopendekezwa kuhudumu katika bodi ya tume mpya ya maadili na ufisadi.Tayari majina ya walioteuliwa na rais Mwai kibaki na waziri mkuu Raila Odinga yamekataliwa na kamati ya bunge kuhusu sheria na haki. Kamati hii hata hivyio haijatoa sababu maalum za kuwakatalia mbali walioteuliwa. Ningependa kuwaunga mkono wabunge waliopuzilia mbali ripoti ya kamati hiyo ambayo ilisema licha kuwa watatu waliopendekezwa wamehitimu, hawana ile ari ya kukabiliana na ufisadi. Je, ni lini mtu akatuma maobmi ya kazi kama hana ile ari ya kufanya kazi hiyo? Na je, ni lini uwezo wa mtu ukapimwa kwa kumuangalia tu? hivi ndivyo tulivyokosea wakati wa kumteua aliyekuwa mkrurugenzi wa tume ya awali ya kupambana na ufisadi KACC, dkt PLO Lumumba, tulimwamini kutokana na maneno yake na matumizi ya misamiati, kumbe tungalijua! Kazi hakuitekeleza vilivyo, wabunge ni wao wao tu waliomtema nje tena. Hivi nasema kama bunge, wametunukiwa ile uwezo wa kuwapiga msasa na kuwateua watu wanaofaa kuongonza, hatungetarajia kushuhudia migawanyiko kama hii, mjadala kuu ukiwa ni kuhusu ari ya mtu kufanya kazi. nakubaliana na mbunge Wavinya Ndeti, wakati tukimchagua rais Kibaki, alionekana kama mtu asiye na uwezo wa kuongonza, lakini takriban miaka 10 matunda ya uongozi wake ni wazi. Tuwape watatu hawa nafasi ya kuhudumu katika tume hiyo, na itatuchukua muda mchache tu kutambua uweledi wao katika masuala ya kukabiliana na ufisadi. Wahenga walisema usimuone fisi ametulia, anatunga sheria!.. Ni hayo tu wakuu.

Monday, March 14, 2011

Hivi ckujua naweza tishwa

Mkali wao ni kawa nimekaa katika chumba cha habari, nashughulikia kuona habari za mchana saa saba zimefika hewani lakini dah! lizard ajaka pita.......nilijua kwamba pia mimi ni mwoga......usipime!!! usiku mwema lakini

Saturday, March 12, 2011

Kivumbi ni leo

FA CUP LIVE: Manchester United v Arsenal - follow the action from Old Trafford as it happens soma hapa


Monday, March 7, 2011

ku blogu kweli kazi

Am trying to "collect" my mind...kazi ya uhariri sio mchezo,wakati mwingine nakosa nafasi ya kublogu. Walakini tuko pamoja watu wamsangu!!!!

day poaz wakubwa.

Saturday, March 5, 2011

MIGINGO......KILIO CHA WAVUVI WA KENYA

Wavuvi wakenya wanaohudumu katika kisiwa chenye utata cha Migingo sasa wanailaumu serekali kwa kupuuza kilio chao licha ya masaibu wanayopitia mikononi mwa maafisa wa kiusalama kutoka nchi Jirani ya Uganda waliopiga kambi kisiwani humo.

Wavuvi hao wanalalama kuwa, inakera kuona  kuwa licha ya vilio vyao, na dhulma wanazopitia, serikali ya Kenya kupitia wizara husika imesalia kuwa kimya, hali wanayodai kuwa inawapelekea maafisa hao wa kiusalama kuwatesa hata zaidi.

Mwenyekiti wa muungano wa wavuvi wakenya katika Kisiwa hicho, Bw Juma Ombori anadai kuwa maafisa hao wa kiusalama wanaendelea kuwatoza ushuru, kuwanyang’any avifaa vya uvuvi na kuwatia mbaroni wakenya pasi na sababu, hali ambayo sasa imewalazimu baadhi ya wavuvi kuhamia maeneo mengine ili kuendeleza biashara za uvuvi.

Mwenyekiti huyo kwa mara nyingine tena ameiomba serikali haswa vigogo wakuu waziri mkuu Raila Odinga, kuingilia kati suala hilo, huku akidai kuwa wanapotafuta msaada kwa maafisa wilayani na Mikoani, maafisa hao hudai kuwa hilo ni suala la kimataifa linalopaswa kujadiliwa na marais wa mataifa husika

Wednesday, February 2, 2011

EDUCATION TASK FORCE LAUNCH////////MUDAKI


WIZARA YA ELIMU IMEZINDUA RASMI JOPO KAZI LA KUANGANZIA NA KURATIBU MABADILIKO KATIKA SEKTA YA ELIMU KUAMBATANA NA KATIBA MPYA. NA KAMA ANAVYOARIFU NEWTON MUDAKI, JOPOKAZI HILO LINA MUDA WA MIEZI SITA KUKAMILISHA JUKUMU HILO KABLA YA KUWASILISHA MAPENDEKEZO YAKE BUNGENI ILI KUIDHINISHWA.

AKIZINDUA RASMI JOPO KAZI HILO, WAZIRI WA ELIMU PROF SAM ONGERI AMESEMA IPO HAJA YA KURATIBU MABADILIKO YA KINA KATIKA SEKTA HIYO KUHAKIKISHA UGAVI SAWA WA RASLIMALI NA VILE VILE KUIMARISHA VIWANGO VYA ELIMU NCHINI. AIDHA JOPO HILO LINATARAJIWA KUFANYA UCHUNGUNZI KATIKA SEKTA HIYO KUTATHMINI UDHAIFU NA UWEZO WAKE.WAKATI HUO HUO WAZIRI ONGERI AMEWATAHADHARISHA WAKUU WA SHULE DHIDI YA KUWALAZIMISHA WANAFUNZI KURUDIA MADARASA. AMEWATAKA KUTUMIA MBINU MBADALA KUTOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WANAOPITIA WAKATI MGUMU SHULENI.

AIDHA WAZIRI ONGERI AMETETEA MPANGO WA SERIKALI KUZIPANDISHA HADHI SHULE ZA UPILI ZA MIKOA HADI KUWA ZA KITAIFA KATIKA KAUNTI ZOTE. ONGERI AMEPUZILIA MBALI TETESI ZINAZOTOLEWA NA WATAALAM WA MASUALA YA ELIMU KUWA HUENDA HATUA HIYO IKAATHIRI VIWANGO VYA ELIMU NCHINI NA KUSEMA KUWA WANALENGA KUONGEZA IDADI YA WANAFUNZI WANAOJIUNGA NA SHULE ZA UPILI.KULINGANA NA ONGERI KUPANDISHWA HADHI SHULE HIZO NI NJIA MOJA YA KUHAKIKISHA KATIBA INATEKELEZWA KWA KUANGAZIA USAWA KWA WOTE WAKATI WA KUGAWA RASLIMALI ZA KITAIFA.

PNU TO WITHDRAW FROM COALITION//////MUDAKI


chama cha pnu kimetisha kujiondoa kutoka serikali ya muungano kutokana na mzozo unaoshuhudiwa kwa sasa.wakizungumza na wanahabari wabunge wa chama hicho wanasema kuwa hatua ya rais mwai kibaki kuwateua wakuu katika idara ya mahakama ndio sababu kuu ya kushuhudiwa migawanyiko serikalini hali inayowafanya kuchukua hatua hiyo ya kujiondoa.newton mudaki na mengi zaidi.

WABUNGE HAO aidha WANATAKA KUANDALIA KWA MKUTANO WA KITAIFA WA WAJUMBE WA CHAMA HICHO KATIKA MUDA WA SIKU ISHIRINI NA MOJA  ILI KUJADILI  IWAPO CHAMA HICHO KITAJIONDOA KUTOKA SERIKALI YA MUUNGANO AU LA.KIONI ANASEMA KUWA MGOGORO UNAOENDELEA KATIKA SERIKALI YA MUUNGANO HAUFAI KWANI VIONGONZI WANAJITAKIA MAKUU HUKU WAKISAHAU KIINI CHA KUBUNIWA KWAKE.
KUHUSU UTEUZI WA  WAKUU WA MAHAKAMA ULIOFANYWA NA RAIS MWAI KIBAKI HIVI MAAJUZI, VIONGOZI HAO WAMESISITIZA KUMUUNGA MKONO RAIS KIBAKI HUKU WAKIMTAKA WAZIRI MKUU RAILA ODINGA KUWAOMBA RADHI WAKENYA BAADA YAKE KUKIRI KUSHAURIANA NA RAIS. KWA UPANDE WAKE NAIBU MWENYEKITI WA CHAMA HICHO JAMLECK KAMAU AIDHA AMEISHTUMU TUME YA MAGEUZI KATIKA IDARA YA MAHAKAMA (JSC) KWA KUPINGA UTEUZI HUO. MBUNGE HUYO WA KIGUMO AMESEMA KUWA TUME HIYO HAINA HAKI YA KUFANYA HIVYO KABLA YAKE kupigwa msasA.

Saturday, January 15, 2011

Wakati Rais anamezea mate..'mawezere'

Nimeipata hii picha na ikanifurahisha sana. eti kwamba Rais Obama anaipa kijicho "manyuma" ya huyo dada.....
Nilipata hii comment kwenye hii picha: "Honestly... i think sarkozy ndio alikuwa ana introduce obama to tht kind of life his known for dating models en kwani wats the harm in checking out fyn ass. Obama kip it going theas stil mo to come."
 

Thursday, January 13, 2011

Tahadhari......Matapeli wanaojifanya maafisa wa jeshi

Wizara ya ulinzi sasaimetoa tahadhari kwa umma dhidi ya genge moja la matapeli, ambalo limekuwa likiwatoza wananchi pesa kwa ahadi za nafasi za kazi ya jeshi. Kundi hilo limekuwa likidai wana uhusiano wa karibu na maafisa wa ngazi za juu katika idara ya ulinzi.

Jamaa hao wamekuwa wakitumia Mpesa zilizo na majina ya maafisa hao wa kijeshi hususan kuwahadaa wananchi kwa vile unapotuma pesa, majina ya maafisa wa kijeshi ndiyo hujiandiklisha, na hivyo kutoa dhana kwa mwananchi asiye na fahamu kuwa pesa zake zimefikia maafisa hao wa kijeshi.

wizara ya ulinzi hivyo inawatahadharisha wakenya kutohadaiwa na mtandao huu wa matapeli,kwa vile nafasi za kazi katika idara ya jeshi hutangazwa wazi magazetini.

Thursday, January 6, 2011

Gender affairs.....

Women barred from attending a meeting organised by DPM Uhuru Kenyatta:

Ni mkutano unaokisiwa kujadili uridhi wa uongonzi wa nchi baada ya kustaafu kwa rais Mwai kibaki. Duru zinaarifu kuwa wajumbe na wafanyibiashara wanaotokea mkoa wa kati walijadili nani kati yao atapeperusha bendera ya urais kutoka eneo hilo, should Uhuru be stopped from running the presidency by the Hague related issues. Itakumbukwa uhuru ni kati ya washukiwa sita wa ghasia za baada ya uchaguzi.

Swali kuu hata hivyo ilikuwa, Ni kwa nini wanawake na vyombo vya habari, bila kujali jinsia, walifungiwa nje ya mkutano huo? taarifa zaidi soma hapa

Maua ya plastiki yapigwa marufuku

Shirika la mazingira nchini NEMA limepiga marufuku matumizi ya 
maua ya plastiki na baadhi ya makaratasi mepesi ya plastiki. kaimu 
mkurugenzi wa shirika hilo Ayub Macharia tayari ametoa muda wa 
miezi tatu kwa shirika la kukadiria ubora wa bidhaa KEBS kutimiza 
marufuku hiyo. wale watakiuka sheria hiyo watachukuliwa hatua kali 
za kisheria.

Saturday, January 1, 2011

Happy 2011 - Breakthrough Unlimited

Leo januari Mosi mwaka wa 2011 iwe mwanzo wa kheri, baraka na fanaka kwako msomaji wa blog hii.
Naomba kwamba kurunzi ya mema ikumulike daima leo na milele, wewe na familia yako (yenu) na marafiki wote.
Ndio mwaka wa vitendo kwangu wakati najitoa kushughulikia wasomaji wa blogu hii kwa taarifa tendeti na umbeya wa mtaa kwa mtaa.
Mimi Newton nawatakieni mwaka mpya wa 2011, wenye fanaka na uwezo. Soma Isaiah 60:22.

Heri ni malize hivi: Gbogbo aye ewa bami gbe ga!

HAPPY 2011.................................*****

Thursday, December 30, 2010

Mwanariadha wanjiru atishia mke wake

Olympic marathon champion Samwel Wanjiru has been charged with threatening to kill his wife, Tereza Njeri, using an illegal firearm. The two-time Boston marathon winner was also charged with threatening to kill their househelp, Nancy Njoki, and wounding a security guard, William Masinde. Mr Wanjiru denied the charges in a Nyahururu court and was released on a bond of Sh300,000 with a similar surety. for more info bonyeza hapa

Tuesday, December 14, 2010

Men may be able to make babies without women....

Now men may be able to make babies without women, through a technology that could for the first time allow same sex couples to have their own genetic children.
In a technology developed to help in preserving endangered species and improving livestock breeds, scientists have, for the first time, developed an offspring from two males.
In a way, this renders null and void, the arguments by anti-gay activists that only opposite sexes lead to procreation. But not all will be lost to potential mothers as a female will be required to carry the pregnancy to term.
Using cell technology, scientists in the US say it is also possible to develop an offspring from one male, though this will need some time to refine.

For more info click Here

Saturday, December 11, 2010

Jamhuri Day....miaka 47 sasa

Wakenya hapo Kesho tunaadhimisha makala ya 47 ya sherehe za Jamhuri. Itakuwa ni siku ya kipekee ikizingatiwa kuwa hii ni adhimisho la kwanza chini ya katiba mpya. Mbali ya ile feeling ya sherehe, lazima tujiulize tunajivunia nini miaka hii yote. Rais Mwai Kibaki na Waziri mKuu Raila Odinga wataongonza sherehe hizo katika uwanja wa Nyayo. Linalonikera ni kwamba wakati tukiadhimisha Jamhuri day ni kuwa shughuli ya utekelezaji wa katiba kufikia sasa imekwama kutokana na mzozo wa maeneo bunge. Sio haki kwa wanasiasa kusimamisha shughuli ya utekelezaji wa katiba kwa sababu ya matakwa yao ya kibinafsi, wanapaswa kutekeleza majukumu tuliyowapa. Naomba kwamba katiba hotuba zao, viongonzi hao wawili watawashurutisha wabunge kuzika tofauti zao na kuitekeleza katiba. Jamhuri dei njema.

Thursday, December 9, 2010

Human Rights Day.....

Wakati Kenya inajiunga na ulimwengu katika kuadhimisha siku ya haki za binadamu hapo kesho, ni dhahiri kuwa Kenya tumepiga hatua katika kupigania haki za binadamu. kupitishwa kwa katiba mpya ni dhihirisho tosha kuwa wakenya wako tayari kutetea haki zao kwani vipengee vingi katika katiba hiyo vinazingatia haki za binadamu. hakuna njia nyingine ambayo Kenya tungepata haki zetu bila sheria thabiti za kuzingatia haki za binadamu nchini isipokuwa kwa kupitishwa kwa katiba hiyo. hata hivyo tatizo kubwa ambalo taifa hili linafaa kujiondoa kabisa ni  kubaguana kikabila ili kuhakikisha kuwa kila mkenya amepata haki sawa katika kila nyanja huku tukinyoshea kidole cha lawama viongozi serikalini kwa kuendeleza uovu huo. Wakenya tusimame tupigane na ubaguzi.

Kwa nini Kenya hatuwezi kuzalisha ARV

Taarifa za hivi punde kuwa huenda mataifa ya Bara ulaya yakaingia katika mikataba na India katika kuzalisha dawa za kupungunza makali ya HIV ni kero kubwa na habari za kusikitisha kwa bara Afrika na Kenya kwa jumla. Ina maana kwamba huenda mataifa yanayotegemea dawa hizi kutoka nje, zikalazimika kuongenza gharama yake. Kwetu hapa Kenya, waathiriwa wa ugonjwa wa ukimwi wamekuwa wakipokea tembe hizo kwa bei ya chini lakini hali hii huenda ikabadilika kufuatia uamuzi wa hapo kesho. India ni moja wapo ya mataifa ambayo yanazalisha kiwango cha juu cha dawa hizo na endapo itatia sahini mikataba na mataifa ya bara ulaya ina maana kwamba uwezekano wa kupatikana kwa dawa hizo huenda ukaathirika. Monique Tondo ni afisa wa afya kutoka shirika la madakatari wasiokuwa na mipaka ya watu wanaoishi na virusi vya HIV yanayotegemea kuwepo kwa ARV na anasema kuwa huenda mkataba huo ukazidisha gharama ya ARV. Hii ni changamoto kwa mataifa ya bara Afrika kutafakari mbinu za kuzalisha dawa hizi ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vya HIV. Hakika mnyongee hana haki, lakini tusizoee kukubali hali hii ya unyonge...sisi pia tuna uwezo. Ebo! jioni poa